Logo

Webible

//
20. Siri ya nyota zile saba ulizoziona ...

Ufunuo

Kapitel 1 : Vers 20

20 / 20

Siri ya nyota zile saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia, na siri ya vile vinara saba vya taa hii: zile nyota saba ni malaika wa makanisa; na vile vinara saba vya taa ni makanisa saba.