Logo

Webible

//
27. Nao wanaume hali kadhalika, wanaach...

Warumi

Kapitel 1 : Vers 27

27 / 32

Nao wanaume hali kadhalika, wanaacha kufuata matumizi ya maumbile ya mume na mke wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume wanafanyiana mambo ya aibu, na hivyo wanajiletea wenyewe adhabu wanayostahili kwa vitendo vyao viovu.