Logo

Webible

//
13. Watu hao ni kama mawimbi makali ya ...

Yuda

Kapitel 1 : Vers 13

13 / 25

Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu.