Logo

WeBible

37. Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka...

Luka

Chapter 20 : Verse 37

37 / 47

Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata Mose alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja Bwana kama Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo.

Luka 20:37