Logo

WeBible

15. Basi, wakafika Yerusalemu. Yesu aka...

Marko

Chapter 11 : Verse 15

15 / 33

Basi, wakafika Yerusalemu. Yesu akaingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu humo ndani. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilishana fedha na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.

Marko 11:15