20 - Yesu akawajibu, "Kwa sababu ya imani yenu haba. Nawaambieni kweli, kama tu mkiwa na imani, hata iwe ndogo kama mbegu ya haradali, mtaweza kuuambia mlima huu: <FO>Toka hapa uende pale,<Fo> nao utakwenda. Hakuna chochote ambacho hakingewezekana kwenu."
Select
Mathayo 17:20
20 / 27
Yesu akawajibu, "Kwa sababu ya imani yenu haba. Nawaambieni kweli, kama tu mkiwa na imani, hata iwe ndogo kama mbegu ya haradali, mtaweza kuuambia mlima huu: <FO>Toka hapa uende pale,<Fo> nao utakwenda. Hakuna chochote ambacho hakingewezekana kwenu."