Chapter 21 : Verse 16
Hivyo wakamwambia, "Je, husikii wanachosema?" Yesu akawajibu, "Naam, nasikia! Je hamjasoma Maandiko haya Matakatifu? <FO>Kwa vinywa vya watoto wadogo na wanyonyao unajipatia sifa kamilifu."<Fo>