Logo

WeBible

6. Hali kadhalika ulimi ni kama moto. ...

Yakobo

Chapter 3 : Verse 6

6 / 18

Hali kadhalika ulimi ni kama moto. Umejaa maovu chungu nzima, unayo nafasi yake katika miili yetu na hueneza ubaya katika nafsi zetu zote. Huteketeza maisha yetu yote kwa moto utokao Jehanamu kwenyewe.

Yakobo 3:6