42 - Au, unawezaje kumwambia mwenzako, <FO>Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi katika jicho lako,<Fo> na huku huioni boriti iliyoko katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la ndugu yako.
Select
Luka 6:42
42 / 49
Au, unawezaje kumwambia mwenzako, <FO>Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi katika jicho lako,<Fo> na huku huioni boriti iliyoko katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la ndugu yako.