Logo

WeBible

8. Halafu Mungu aliifanya tohara iwe i...

Matendo

Chapter 7 : Verse 8

8 / 60

Halafu Mungu aliifanya tohara iwe ishara ya agano. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka, siku ya nane baada ya kuzaliwa. Na Isaka, vivyo hivyo, alimtahiri Yakobo. Naye Yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili vivyo hivyo.

Matendo 7:8