17 - Hapo baadhi ya wanafunzi wake wakaulizana, "Ana maana gani anapotwambia: <FO>Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona?<Fo> Tena anasema: <FO>Kwa kuwa ninakwenda kwa Baba!"<Fo>
Select
Yohana 16:17
17 / 33
Hapo baadhi ya wanafunzi wake wakaulizana, "Ana maana gani anapotwambia: <FO>Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona?<Fo> Tena anasema: <FO>Kwa kuwa ninakwenda kwa Baba!"<Fo>