Logo

Webible

//
33. Yesu akasema, "Sikilizeni mfano mwi...

Mathayo

Kapitola 21 : Verš 33

33 / 46

Yesu akasema, "Sikilizeni mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la mizabibu; akalizungushia ukuta, akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga humo mnara pia. Kisha akalikodisha kwa wakulima, akasafiri kwenda nchi ya mbali.