Logo

Webible

//
23. Ole wenu walimu wa Sheria na Mafari...

Mathayo

Rozdział 23 : Werset 23

23 / 39

Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnatoza watu zaka, hata juu ya majani yenye harufu nzuri, bizari na jira, na huku mnaacha mambo muhimu ya Sheria kama vile haki, huruma na imani. Haya ndiyo hasa mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau yale mengine.